Isaya 53:10 ONEN

[10] Lakini yalikuwa ni mapenzi ya BWANA kumchubua na kumsababisha ateseke. Ingawa BWANA amefanya maisha yake kuwa sadaka ya hatia, ataona uzao wake na kuishi siku nyingi, nayo mapenzi ya BWANA yatafanikiwa mkononi mwake.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.