Ezekieli 36:4 ONEN

[4] kwa hiyo, ee milima ya Israeli, sikieni neno la BWANA Mwenyezi: Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo kwa milima na vilima, kwa makorongo na mabonde, kwa mahame yaliyo ukiwa, miji iliyoachwa ambayo imetekwa nyara na kudharauliwa na mataifa mengine yanayowazunguka,

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.