2 Nyakati 12:9 ONEN

[9] Shishaki mfalme wa Misri alipoishambulia Yerusalemu, alichukua hazina za Hekalu la BWANA na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.