2 Nyakati 11:4 ONEN

[4] ‘Hili ndilo asemalo BWANA: Msipande kupigana dhidi ya ndugu zenu. Nendeni nyumbani, kila mmoja wenu, kwa kuwa hili nimelitenda mimi.’ ” Kwa hiyo wakalitii neno la BWANA na wakaacha kwenda kupigana dhidi ya Yeroboamu.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.