1 Samweli 4:4 ONEN

[4] Hivyo wakawatuma watu huko Shilo, nao wakalichukua Sanduku la Agano la BWANA Mwenye Nguvu Zote, aliyekaa kwenye kiti chake cha enzi kati ya makerubi. Nao wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, walikuwako huko pamoja na Sanduku la Agano la Mungu.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.