Yoshua 4:8 ONEN

[8] Hivyo Waisraeli wakafanya kama Yoshua alivyowaagiza. Wakachukua mawe kumi na mawili kutoka katikati ya Mto Yordani, kulingana na hesabu ya kabila za Waisraeli kama BWANA alivyomwambia Yoshua, nao wakayabeba hadi kambini mwao, mahali walipoyatua chini.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.