Yoshua 19:51 ONEN

[51] Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za BWANA penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.