Yeremia 25:3 ONEN

[3] Kwa miaka ishirini na mitatu, kuanzia mwaka wa kumi na tatu wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda, hadi siku hii ya leo, neno la BWANA limekuwa likinijia, nami nimesema nanyi mara kwa mara, lakini hamkusikiliza.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.