Yeremia 16:14 ONEN

[14] “Hata hivyo, siku zinakuja,” asema BWANA, “wakati ambapo watu hawatasema tena, ‘Hakika kama BWANA aishivyo, aliyewapandisha Waisraeli kutoka Misri,’

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.