Walawi 17:5 ONEN

[5] Hii ni ili Waisraeli wamletee BWANA dhabihu wanazozifanya sasa mahali pa wazi mashambani. Ni lazima wazilete kwa makuhani, yaani kwa BWANA, katika ingilio la Hema la Kukutania, na kutoa dhabihu kama sadaka za amani.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.