Walawi 10:15 ONEN

[15] Paja lile lililotolewa na kidari kile kilichoinuliwa lazima viletwe pamoja na sehemu za mafuta ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, ili kuinuliwa mbele za BWANA kama sadaka ya kuinuliwa. Hili litakuwa fungu lako la kawaida na wanao, kama BWANA alivyoagiza.”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.