Waamuzi 4:14 ONEN

[14] Ndipo Debora akamwambia Baraka, “Nenda! Hii ndiyo siku ambayo BWANA amemtia Sisera mikononi mwako. Je, BWANA hakukutangulia mbele yako?” Hivyo Baraka akashuka kutoka Mlima Tabori, akifuatwa na watu 10,000.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.