Waamuzi 21:5 ONEN

[5] Ndipo Waisraeli wakasema, “Ni kabila lipi la Israeli ambalo halikufika katika mkutano kumkaribia BWANA?” Kwa kuwa walikuwa wameweka kiapo kikuu kuwa yeyote asiyefika mbele za BWANA huko Mispa, kwa hakika angeuawa.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.