Waamuzi 15:14 ONEN

[14] Alipokaribia Lehi, Wafilisti wakamjia wakipiga kelele. Roho wa BWANA akamjia juu yake kwa nguvu. Kamba zilizomfunga mikono yake zikawa kama kitani iliyochomwa kwa moto, na vifungo vyake vikaanguka chini toka mikononi mwake.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.