Waamuzi 13:16 ONEN

[16] Malaika wa BWANA akamjibu, “Hata kama utanizuia, sitakula chochote kwako. Lakini ukitaka kuandaa sadaka ya kuteketezwa, mtolee BWANA hiyo sadaka.” (Kwa kuwa Manoa hakujua kuwa alikuwa malaika wa BWANA.)

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.