Mika 3:11 ONEN

[11] Viongozi wake wanahukumu kwa rushwa, na makuhani wake wanafundisha kwa malipo, nao manabii wake wanatabiri kwa fedha. Hata hivyo wanamwegemea BWANA na kusema, “Je, BWANA si yumo miongoni mwetu? Hakuna maafa yatakayotupata.”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.