Kutoka 16:23 ONEN

[23] Mose akawaambia, “Hivi ndivyo alivyoagiza BWANA: ‘Kesho itakuwa siku ya mapumziko, Sabato takatifu kwa BWANA. Kwa hiyo okeni kile mnachotaka kuoka na mchemshe kile mnachotaka kuchemsha. Hifadhini chochote kinachobaki na mkiweke mpaka asubuhi.’ ”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.