Kumbukumbu 1:41 ONEN

[41] Ndipo mkanijibu, “Tumemtenda BWANA dhambi. Tutakwenda kupigana, kama BWANA Mungu wetu alivyotuamuru.” Hivyo kila mmoja wenu akachukua silaha zake, huku mkifikiri kuwa ni rahisi kukwea katika nchi ya vilima.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.