Kumbukumbu 14:29 ONEN

[29] ili Walawi (ambao hawana mashamba wala urithi wao wenyewe) na wageni, yatima na wajane wanaoishi kwenye miji yenu wapate kuja kula na kushiba, ili BWANA Mungu wenu apate kuwabariki ninyi katika kazi zote za mikono yenu.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.