Kumbukumbu 12:18 ONEN

[18] Badala yake, mtakula vitu hivyo katika uwepo wa BWANA Mungu wenu mahali ambapo BWANA Mungu wenu atapachagua: wewe, wana wako na binti zako, watumishi wako wa kiume na wa kike, na Walawi kutoka miji yenu. Mnatakiwa mfurahi mbele za BWANA Mungu wenu kwa kula kitu mtakachoweka mikono yenu.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.