Hesabu 28:11 ONEN

[11] “ ‘Siku ya kwanza ya kila mwezi, mtamletea BWANA sadaka ya kuteketezwa ya fahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasiokuwa na dosari.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.