Hesabu 18:15 ONEN

[15] Kila mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu na wa mnyama, ambaye ametolewa kwa BWANA ni wenu. Lakini ni lazima mtamkomboa kila mwana mzaliwa wa kwanza na kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa wanyama wasio safi.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.