Ezekieli 8:16 ONEN

[16] Ndipo akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani wa nyumba ya BWANA, nako huko katika ingilio la Hekalu, kati ya baraza na madhabahu, walikuwepo wanaume wapatao ishirini na watano. Wakiwa wamelipa kisogo Hekalu la BWANA na kuelekeza nyuso zao upande wa mashariki, wakilisujudia jua huko mashariki.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.