2 Wafalme 3:13 ONEN

[13] Elisha akamwambia mfalme wa Israeli, “Nina nini mimi nawe? Nenda kwa manabii wa baba yako na manabii wa mama yako.” Mfalme wa Israeli akajibu, “La hasha, kwa sababu ni BWANA ambaye ametuita pamoja sisi wafalme watatu ili atutie mikononi mwa Moabu.”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.