2 Wafalme 3:11 ONEN

[11] Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa BWANA hapa, ili tuweze kumuuliza BWANA kupitia kwake?” Afisa mmoja wa mfalme wa Israeli akajibu, “Elisha mwana wa Shafati yuko hapa. Ndiye alikuwa akimimina maji juu ya mikono ya Eliya.”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.