2 Wafalme 21:7 ONEN

[7] Akachukua nguzo ya Ashera aliyoichonga na kuiweka katika Hekalu, ambalo BWANA alikuwa amemwambia Daudi na mwanawe Solomoni, “Katika Hekalu hili na katika Yerusalemu niliouchagua kutoka kabila zote za Israeli, nitaliweka Jina langu milele.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.