2 Wafalme 18:12 ONEN

[12] Hili lilitokea kwa sababu hawakumtii BWANA Mungu wao, lakini walikuwa wamevunja agano lake, yale yote ambayo Mose mtumishi wa BWANA aliwaamuru. Hawakuzisikiliza amri wala kuzitimiza.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.