2 Samweli 2:1 ONEN

[1] Ikawa baada ya mambo haya, Daudi akamuuliza BWANA, “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya miji ya Yuda?” BWANA akasema, “Panda.” Daudi akauliza, “Je, niende wapi?” BWANA akajibu, “Nenda Hebroni.”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.