2 Samweli 24:16 ONEN

[16] Malaika aliponyoosha mkono wake ili kuangamiza Yerusalemu, BWANA akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anawadhuru watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa BWANA alikuwa kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna, Myebusi.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.