2 Nyakati 33:15 ONEN

[15] Akaondolea mbali miungu ya kigeni na kuondoa sanamu kutoka Hekalu la BWANA pamoja na madhabahu zote alizozijenga katika kile kilima kilichojengwa Hekalu na katika Yerusalemu, akazitupa nje ya mji.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.