2 Nyakati 31:10 ONEN

[10] naye Azaria aliyekuwa kuhani mkuu, kutoka jamaa ya Sadoki, akajibu, “Tangu watu walipoanza kuleta sadaka zao katika Hekalu la BWANA tumekuwa na chakula cha kutosha na vingi vya kuweka akiba kwa sababu BWANA amewabariki watu wake, hivyo tumekuwa na kiasi kingi kilichobaki.”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.