2 Nyakati 2:12 ONEN

[12] Naye Hiramu akaongeza kusema: “Ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli aliyezifanya mbingu na nchi! Amempa Mfalme Daudi mwana mwenye hekima, aliyejaliwa maarifa na ufahamu, ambaye atajenga Hekalu kwa ajili ya BWANA, na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.