2 Nyakati 29:30 ONEN

[30] Mfalme Hezekia na maafisa wake wakawaamuru Walawi kumsifu BWANA kwa maneno ya Daudi na ya Asafu mwonaji. Hivyo wakaimba sifa kwa furaha nao wakainamisha vichwa vyao na kuabudu.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.