2 Nyakati 29:17 ONEN

[17] Walianza kazi ya utakaso siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza na kufikia siku ya nane ya mwezi huo wakawa wamefikia kwenye ukumbi wa BWANA. Kwa siku zingine nane wakalitakasa Hekalu lenyewe la BWANA wakakamilisha katika siku ya kumi na sita ya mwezi huo wa kwanza.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.