2 Nyakati 26:18 ONEN

[18] Wakamkabili na kumwambia, “Siyo sawa kwako, Uzia, kumfukizia BWANA uvumba. Hiyo ni kazi ya makuhani, wazao wa Aroni, ambao wamewekwa wakfu ili kufukiza uvumba. Ondoka mahali patakatifu, kwa kuwa umekosa uaminifu nawe hutaheshimiwa na BWANA.”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.