2 Nyakati 24:20 ONEN

[20] Ndipo Roho wa BWANA akaja juu ya Zekaria mwana wa Yehoyada kuhani. Akasimama mbele ya watu akasema, “Hili ndilo asemalo Mungu, ‘Kwa nini mnakataa kuzitii amri za BWANA? Hamtafanikiwa kwa kuwa mmemwacha BWANA, yeye naye amewaacha ninyi.’ ”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.