2 Nyakati 21:7 ONEN

[7] Hata hivyo, kwa sababu ya Agano ambalo BWANA alikuwa amefanya na Daudi, BWANA hakuwa radhi kuangamiza nyumba ya Daudi. Mungu alikuwa ameahidi kuidumisha taa kwa ajili yake na wazao wake milele.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.