2 Nyakati 19:2 ONEN

[2] Yehu mwonaji, mwana wa Hanani, akapanda kwenda kuonana naye akamwambia Mfalme Yehoshafati, “Je, utawasaidia waovu na kuwapenda wale wanaomchukia BWANA? Kwa sababu ya jambo hili, ghadhabu ya BWANA iko juu yako.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.