2 Nyakati 19:11 ONEN

[11] “Amaria kuhani mkuu atakuwa juu yenu katika jambo lolote linalomhusu BWANA naye Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa kabila la Yuda, atakuwa juu yenu kwa jambo lolote linalomhusu mfalme, nao Walawi watatumika kama maafisa mbele yenu. Tendeni kwa ujasiri, naye BWANA atakuwa pamoja na wale watendao vyema.”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.