1 Wafalme 9:25 ONEN

[25] Solomoni akatoa dhabihu za kuteketezwa na sadaka za amani mara tatu kwa mwaka, juu ya madhabahu aliyokuwa amejengea kwa ajili ya BWANA, akifukiza uvumba mbele za BWANA pamoja na dhabihu hizo, hivyo kutimiza kanuni za hekalu.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.