1 Wafalme 2:26 ONEN

[26] Mfalme akamwambia kuhani Abiathari, “Nenda huko Anathothi katika mashamba yako. Wewe unastahili kufa, lakini sitakuua sasa, kwa sababu ulilichukua Sanduku la BWANA Mwenyezi mbele ya Daudi baba yangu na ulishiriki taabu zote za baba yangu.”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.