1 Wafalme 13:26 ONEN

[26] Yule nabii aliyekuwa amemrudisha kutoka safari yake aliposikia habari hii akasema, “Ni yule mtu wa Mungu ambaye aliasi neno la BWANA. BWANA amemtoa kwa simba, ambaye amemrarua na kumuua, sawasawa na neno la BWANA lilivyokuwa limemwonya.”

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.