1 Samweli 7:1 ONEN

[1] Kisha watu wa Kiriath-Yearimu wakaja na kulichukua Sanduku la BWANA. Wakalipeleka katika nyumba ya Abinadabu juu kilimani na kumweka Eleazari mwanawe wakfu kulichunga Sanduku la BWANA.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.