1 Samweli 20:13 ONEN

[13] Lakini ikiwa baba yangu amenuia kukudhuru, BWANA na anishughulikie kwa ukali, iwapo sitakufahamisha na kukuaga uende salama. BWANA na awe pamoja nawe kama alivyokuwa pamoja na baba yangu.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.