1 Nyakati 28:13 ONEN

[13] Mfalme pia akampa Solomoni maelekezo kwa ajili ya migawanyo ya huduma za makuhani na Walawi, pia kwa ajili ya kazi zote za huduma katika Hekalu la BWANA. Akampa pia maelezo kuhusu vifaa vyote vya kutumika katika huduma ya Hekalu.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.