1 Nyakati 23:31 ONEN

[31] na wakati wowote sadaka za kuteketezwa zilipotolewa kwa BWANA siku za Sabato na kwenye sikukuu za Mwezi Mwandamo na katika sikukuu nyingine zilizoamriwa. Iliwapasa kuhudumu mbele za BWANA mara kwa mara kwa idadi maalum na kwa namna waliyokuwa wamepewa maelekezo.

About this translation

Life Bible app icon
Get the Life Bible app Read offline, sync highlights and notes, and study with your library on any device.